Nauliza kwa wale wanaoendelea mfano mwanafunzi mwaka jana mwanafunzi wa MD kapata tuition fee ya m3.1 je mwaka wa pili mpangilio wake huwa unakuwaje? Wanaweza kumpunguzia kabisa au ndo hatapata tena?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.