majid salim dossa
Member
- Nov 22, 2020
- 25
- 6
Wakuu habari zenu mimi nipo Arusha ila nilikuwa nataka nianze biashara ndogo ndogo nilikuwa nataka nianze kuuza apple kuwafata wateja mahali walipo maana yake kutembeza.
Sasa nilikuwa nataka nijue mwendo wa biashara sasa hivi ukoje mtaani kwasababu nimefanya biashara mda kidog na pia kwa mtu ambaye anafanya biashara kama hiyo naomba uzoefu wake kidogo kwa ushauri.
Labda box moja la apple linauzwa sh. ngapi kwa huku Arusha na faida unaweza pata sh. ngapi kwa box moja naombeni ushauri wenu.
Je ni wakati sahihi kuanza biashara January au nisubiri kwanza kwa mtu yeyote ambaye ana ushauri karibuni.
Sasa nilikuwa nataka nijue mwendo wa biashara sasa hivi ukoje mtaani kwasababu nimefanya biashara mda kidog na pia kwa mtu ambaye anafanya biashara kama hiyo naomba uzoefu wake kidogo kwa ushauri.
Labda box moja la apple linauzwa sh. ngapi kwa huku Arusha na faida unaweza pata sh. ngapi kwa box moja naombeni ushauri wenu.
Je ni wakati sahihi kuanza biashara January au nisubiri kwanza kwa mtu yeyote ambaye ana ushauri karibuni.