At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Habari ya wakati huu wana JamiiForums.
Ni matumaini yangu mnaendelea vyema, kwa mlio na mkwamo Mungu awafanyie wepesi.
Bila kusahau tuendelee kuchukua tahadhari kuhusiana na ugonjwa huu wa korona ambao umeikumbu dunia. Bila shaka ni kwa muda ni imani yangu itakwisha.
Moja kwa moja kwenye mada.
Iko hivi kuna mara kadhaa nimekuwa nikiota ndoto niko mahali fulani, lakini kuna kuwa na ile hali ya kuhisi au kudhani hilo eneo nimewahi kufika au kuliona kabla. Sasa hii huwa inanitatiza, ningependa kupata maoni kwenu wanajamii nyinyi kwenu jambo kama hili likoje.
Kwa mwenye ufahamu uelewa au anaepitia kitu kama hiki aje atoe maoni yake niweze kupata ufahamu au ni mimi mwenyewe na matatizo yangu.
Akhsanteni, naomba kuwasilisha.
#JIKINGE NA KORONA.
#TUENDELEE KUCHUKUA TAHADHARI KWA KADRI TULIVYOAMBIWA NA WATAALAMU WA AFYA NA VIONGOZI WA SERIKALI KWA UJUMLA.
Ni matumaini yangu mnaendelea vyema, kwa mlio na mkwamo Mungu awafanyie wepesi.
Bila kusahau tuendelee kuchukua tahadhari kuhusiana na ugonjwa huu wa korona ambao umeikumbu dunia. Bila shaka ni kwa muda ni imani yangu itakwisha.
Moja kwa moja kwenye mada.
Iko hivi kuna mara kadhaa nimekuwa nikiota ndoto niko mahali fulani, lakini kuna kuwa na ile hali ya kuhisi au kudhani hilo eneo nimewahi kufika au kuliona kabla. Sasa hii huwa inanitatiza, ningependa kupata maoni kwenu wanajamii nyinyi kwenu jambo kama hili likoje.
Kwa mwenye ufahamu uelewa au anaepitia kitu kama hiki aje atoe maoni yake niweze kupata ufahamu au ni mimi mwenyewe na matatizo yangu.
Akhsanteni, naomba kuwasilisha.
#JIKINGE NA KORONA.
#TUENDELEE KUCHUKUA TAHADHARI KWA KADRI TULIVYOAMBIWA NA WATAALAMU WA AFYA NA VIONGOZI WA SERIKALI KWA UJUMLA.