Naombeni msaada ktk distrubution:Km idadi ya majini haifiki 10m vijiji vipi vimebeba watu waliobaki?

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,195
Jamani nambeni msaada ktk hili ..najua kuna vijiji vingi sana.Ila pia najua nguvu kazi(Wapiga kura) wamekimbilia mijini.Pia tunajua kwamba nyumba za mijini zipo karibu na nyingi uswazi zinalaza watu wengi sana kwa chumba. Kwa haraka haraka tulitegemea Idadi ya wapiga kura wa wa majiji na miji nchini yangezidi m10.Ila kwa taarifa za magazeti Dar haina 3m, nyanda za juu kusini zilizosifiwa kuwa na idadi kubwa haina 4m, miji mingine nayo kwa haraka haitofika 2m.Napata shida kidogo kuona vijiji gani vinaweza kuwa na watu wengi na hao watu wengi tuangalie wale wenye sifa na waliojiandikisha ktk BVR? ili kufikia idadi ya jumla ya waliojiandikisha.NINGEPENDA MSAADA HAPA,KWA UELEWA WANGU WA KIPIMO NAONA KM WATU WANAWEZA PIGA KURA SANA,NA WAKAJITOKEZA KWA WINGI,KUMBE WAPIGAJI HALISI NI CHINI YA 10M, NA KURA NYINGINE ILI KUFIKIA HIZO 20+ ZIKABAKI KTK MIKONO YA WACHAKACHUAJI. Pengine wenye kujua watueleweshe wengine sisi.Tusisahau kuangalia idadi halisi ya hao wanaoambiwa wamejiandikisha zaidi ya mara moja. Naona km tunaweza kuwa tunapiga kura wewe,kumbe tunagawana kura chini ya m10,na zaidi ya 10m nyingine ni maalumu kwa upande fulani kujiwekea.
 
Umeandika kama funza Katika umri huu hata paragraph hujaweka?
Ni mchango wako tutafanyaje sasa.Km umekulia mihogo na cabbage unadhani tutakusaidiaje ktk umri huu.Paragraphy zinakataa kutokana na programa ninayotumia.Ila haiyoshi kwako kumalizia mchango wako hapo
 
jamani nambeni msaada ktk hili ..najua kuna vijiji vingi sana.ila pia najua nguvu kazi(wapiga kura) wamekimbilia mijini.pia tunajua kwamba nyumba za mijini zipo karibu na nyingi uswazi zinalaza watu wengi sana kwa chumba. Kwa haraka haraka tulitegemea idadi ya wapiga kura wa wa majiji na miji nchini yangezidi m10.ila kwa taarifa za magazeti dar haina 3m, nyanda za juu kusini zilizosifiwa kuwa na idadi kubwa haina 4m, miji mingine nayo kwa haraka haitofika 2m.napata shida kidogo kuona vijiji gani vinaweza kuwa na watu wengi na hao watu wengi tuangalie wale wenye sifa na waliojiandikisha ktk bvr? Ili kufikia idadi ya jumla ya waliojiandikisha.ningependa msaada hapa,kwa uelewa wangu wa kipimo naona km watu wanaweza piga kura sana,na wakajitokeza kwa wingi,kumbe wapigaji halisi ni chini ya 10m, na kura nyingine ili kufikia hizo 20+ zikabaki ktk mikono ya wachakachuaji. Pengine wenye kujua watueleweshe wengine sisi.tusisahau kuangalia idadi halisi ya hao wanaoambiwa wamejiandikisha zaidi ya mara moja. Naona km tunaweza kuwa tunapiga kura wewe,kumbe tunagawana kura chini ya m10,na zaidi ya 10m nyingine ni maalumu kwa upande fulani kujiwekea.


NAHIC hata kujua kusoma na kuandika ulijua ulipokuwa ly (DARASA LA SABA) mwaka 1994 shule ya msingi kagunga
Wengi sana miaka hiyo mlikuwa mnachelewa sana kujua kusoma kuandika na kuhesabu
 
NAHIC hata kujua kusoma na kuandika ulijua ulipokuwa ly (DARASA LA SABA) mwaka 1994 shule ya msingi kagunga Wengi sana miaka hiyo mlikuwa mnachelewa sana kujua kusoma kuandika na kuhesabu
haina shobo..km umekulia mihogo na cabbage nitakusaidiaje?
 
Nina mashaka sana na mgawanyo wa hawa watu ,wapo wapi, na ktk hawa watu idadi ya kweli ya waliojiandikisha mara mbili ni ipi?Hawa kunaweza kuwa na michezo mingi ya kihuni ..historia inaonyesha watu wamekuwa wakipiga kura chini ya 10m,kwa hamasa kubwa ktk miji yetu ktk mazingira watu wanahitaji sana hivi vitambulisho.Iweje majini na miji tayari hayana hao watu?
 
Takwimu zinazotolewa ni za idadi ya waliojiandikisha. Hawa ni watu wazima waliotimiza miaka 18. Inaonekana kuwa mikoa mingine aidha ina watoto wa chini ya miaka 18 wengi au watu wengi kwenye mikoa hiyo hawakujiandikisha kupiga kura.
 
Takwimu zinazotolewa ni za idadi ya waliojiandikisha. Hawa ni watu wazima waliotimiza miaka 18. Inaonekana kuwa mikoa mingine aidha ina watoto wa chini ya miaka 18 wengi au watu wengi kwenye mikoa hiyo hawakujiandikisha kupiga kura.
kuna hizo factor..ila ukitoa mikoa yenye miji mikubwa na kura zao bado difference ni kubwa.
 
pengine watu wanapuuza ila inaweza kuwa shida kubwa sana....msijekuwa fujoo zote mnagombea kura halali zikipigwa na binadamu wenye vitambulishe ni chini 15mil
 
Back
Top Bottom