CR wa PROB
Senior Member
- Sep 21, 2011
- 170
- 29
Juzi wakati nipo hapa jamvini kuna Thread moja ya Bujiji iliyokuwa na kichwa cha habari kisemacho Ni Kitabu gani ulichokisoma hivi karibun..
Ilinivutia sana kuipitia kwani ukitaka kumficha kitu mtanzania wewe mwekee kwenye vitabu, yani ni wavivu sana kusoma vitabu. Sasa wakati naisoma kuna mdau mmoja amedai amesoma kitabu cha RAHA YA PIPA cha J.K na amedai kipo madukani, Sasa naomba kuuliza kuwa hivi ni kweli J.K ametoa hicho kitabu au vipi?? na je naweza kukipata wapi?? nisaidieni wadau kwa hili.
Ilinivutia sana kuipitia kwani ukitaka kumficha kitu mtanzania wewe mwekee kwenye vitabu, yani ni wavivu sana kusoma vitabu. Sasa wakati naisoma kuna mdau mmoja amedai amesoma kitabu cha RAHA YA PIPA cha J.K na amedai kipo madukani, Sasa naomba kuuliza kuwa hivi ni kweli J.K ametoa hicho kitabu au vipi?? na je naweza kukipata wapi?? nisaidieni wadau kwa hili.