Kama ulikuwa unaingia chumvini acha sio mchezo mzuri kuingia chumvini. Dawa ya kukutibu ipo na ukitumia unaweza kupona maradhi yako.Husika na kichwa cha habari hapo juu jamani ndugu zangu nina kama mwez na nusu koo pamoja na ulimi wangu vimekuwa vikinisumbua sana na vidonda sasa stage iliofikia napata hofu sana naomba anaejua dawa jamani msaada niokoe maisha yangu