Asntee sana mkuuNi desktop computer mkuu sema katika umbo Dogo, unaweza ukaweka windows humo, ukanunua na mouse na keyboard ukatumia.
Sababu ya umbo lake dogo unaweza pia kufunga nyuma ya monitor ama tv Isionekane, hasa kwenye vesa mounting.
Nzuri pia kuifanya Kama tv box, ikakaa na tv yako kwa ajili ya kuangalizia movies, mpira etc.