WIZZY BABILON 94
Member
- Jul 9, 2015
- 35
- 14
Maana kuna mdada analalamika tumbo linamuuma pia anahisi dalili za mimba na kajipima kakuta negative
ila kaenda hospitali kaonekana postive ....
na kwakutumia ultra sound haionekani kitu yani yupo normal na bado
anableed japo sio siku zake za kubleed....!!!
Msaada tafadhali hapo ....madocta
ila kaenda hospitali kaonekana postive ....
na kwakutumia ultra sound haionekani kitu yani yupo normal na bado
anableed japo sio siku zake za kubleed....!!!
Msaada tafadhali hapo ....madocta