Umuzukuru
JF-Expert Member
- May 30, 2019
- 609
- 539
Habari wakuu,
Naomba niende Moja kwa Moja kwenye mada husika
Wakuu naombeni msaada ili niweze kupata platform itakayonipa nafasi ya kunisajilia uwezo na kipaji changu cha kuimba ili kutengeneza nafasi ya kuweza kupata udhamini
Pia kwa mwenye connection na wadau wa muziki nahitaji msaada wake ili kupata nafasi ya kurekodi wimbo au hata nyimbo maana uchumi bado ni kikwazo sana kwangu Jambo linalofanya kushindwa kufanya chochote chenye kueleweka katika safari hii ya maisha ya muziki
Kama una msaada au hata wazo,maoni na ushauri usisite kuutoa
Nb:aina ya muziki ninaoimba ni bongo fleva,RnB na aina nyinginezo nazimudu kwa kiasi Fulani
Natanguliza shukrani za dhati kwenu wote
Naomba niende Moja kwa Moja kwenye mada husika
Wakuu naombeni msaada ili niweze kupata platform itakayonipa nafasi ya kunisajilia uwezo na kipaji changu cha kuimba ili kutengeneza nafasi ya kuweza kupata udhamini
Pia kwa mwenye connection na wadau wa muziki nahitaji msaada wake ili kupata nafasi ya kurekodi wimbo au hata nyimbo maana uchumi bado ni kikwazo sana kwangu Jambo linalofanya kushindwa kufanya chochote chenye kueleweka katika safari hii ya maisha ya muziki
Kama una msaada au hata wazo,maoni na ushauri usisite kuutoa
Nb:aina ya muziki ninaoimba ni bongo fleva,RnB na aina nyinginezo nazimudu kwa kiasi Fulani
Natanguliza shukrani za dhati kwenu wote