Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,266
- 33,039
Dawa za asiliza kupunguza uzito na unen pamoja na kitambi zipo na ukitumia unaweza kupunguwa huo unene kitambi na tumbo.Wana JF habarini, bila ya kupoteza muda na maneno mengi naombeni mnisaidie ushauri wa dawa nzuri ya kupunguza unene, hasa kitambi.
Nawategemea jamani