Duuh!Lifo = Kifo
Zina shida gani hizo mkuuNitanunua pikipiki yoyote lakini sio sanLg,Tbetter na king lion
Nimesahau na nyingine shanray.haya mapikipiki hayako imara yanakongoroka kirahisiZina shida gani hizo mkuu
Kwa king lion si kweli mm ninayo Tena inapiga kazi vizur hakuna kukongoloka chochote,nimebebea maroba ya mpunga kutoka ktk matopeNitanunua pikipiki yoyote lakini sio sanLg,Tbetter na king lion
Mbona naonaga kama yanakongoloka vyuma vinalegealegea.ina muda gani yakoKwa king lion si kweli mm ninayo Tena inapiga kazi vizur hakuna kukongoloka chochote,nimebebea maroba ya mpunga kutoka ktk matope
Zinauzwa milion 1.5 mpyaNi shs ngapi mkuu?
Nunua mkuu 1,5 million sio mbayaHivi karibuni kuna pikipiki mpya zimeingia zinaitwa lifo zinasifika kwa ulaji mdogo wa mafuta zina Cc 110 kwa wale ambao mmeshaitumia naombeni kufahamu
Upatikanaji wa spare
Uimara wake
N.k
zile pikipiki hazina tofauti na YEBOYEBONimesahau na nyingine shanray.haya mapikipiki hayako imara yanakongoroka kirahisi
kuna FIFO baada ya LIFOHivi karibuni kuna pikipiki mpya zimeingia zinaitwa lifo zinasifika kwa ulaji mdogo wa mafuta zina Cc 110 kwa wale ambao mmeshaitumia naombeni kufahamu
Upatikanaji wa spare
Uimara wake
N.k