Habarini ndugu zangu, ni matumaini yangu mpo fresh.
Mimi ni mhitimu wa chuo ngazi ya degree katika fani ya uhasibu.
kiukweli nimejiajiri lakini hali si mchezo huku mtaani, ofisini nashinda masaa 14, kila siku lazima niende ofisini yani hata nlikopanga geto kuna wengine hawanijui vizuri, sijakaa sawa kuna kodi ya frem, tra, halmashauri, n.k yani hali si hali jamani.
Nimeomba sana ajira sehemu mbali mbali na hata kufikia interviews lakini bahati haikiwa upande wangu maana kiukweli ushindani ni mkubwa sana.
katika kujuliana hali na wanafunzi wenzangu wengi walionizidi darasa, tuliosoma nao, n.k nimeona wahitimu wengi waliotokea zanzibar tayari washapata ajira na maisha yanapendeza, wengi tayari wamemudu kuwa na magari, makazi mazuri, familia, n.k wakiwa na umri mdogo kabisa.
Kiukweli wengi walikuwa na uwezo wa kawaida sana ila upepo safi umewapitia wana ajira, wengi wapo huku huku bara wachache wanafanyia Zanzibar.
Nimeona na mimi mnipe ushauri nifanye kitu gani nitambulike kama mzanzibari maana wanasema ukiwa karibu na waridi basi na wewe utanukia.
Ningependa mnisaidie kunipa mbinu niwe raia wa Zanzibar tafadhali.
Mimi ni mhitimu wa chuo ngazi ya degree katika fani ya uhasibu.
kiukweli nimejiajiri lakini hali si mchezo huku mtaani, ofisini nashinda masaa 14, kila siku lazima niende ofisini yani hata nlikopanga geto kuna wengine hawanijui vizuri, sijakaa sawa kuna kodi ya frem, tra, halmashauri, n.k yani hali si hali jamani.
Nimeomba sana ajira sehemu mbali mbali na hata kufikia interviews lakini bahati haikiwa upande wangu maana kiukweli ushindani ni mkubwa sana.
katika kujuliana hali na wanafunzi wenzangu wengi walionizidi darasa, tuliosoma nao, n.k nimeona wahitimu wengi waliotokea zanzibar tayari washapata ajira na maisha yanapendeza, wengi tayari wamemudu kuwa na magari, makazi mazuri, familia, n.k wakiwa na umri mdogo kabisa.
Kiukweli wengi walikuwa na uwezo wa kawaida sana ila upepo safi umewapitia wana ajira, wengi wapo huku huku bara wachache wanafanyia Zanzibar.
Nimeona na mimi mnipe ushauri nifanye kitu gani nitambulike kama mzanzibari maana wanasema ukiwa karibu na waridi basi na wewe utanukia.
Ningependa mnisaidie kunipa mbinu niwe raia wa Zanzibar tafadhali.