Nitumie njia gani baba mtoto wangu arudi jamani inaniumiza mtoto kuishi maisha ya kuhangaika badae na mama wa kambo. Kwa nilivyomfatilia yupo na mwanamke mwingine ametambulisha hadi ndugu zake.
Ila tukiwasiliana ananiambia ana mawazo mengi sana anatamani turudiane tulee familia lakini kuna muda anatamani kama aendelee kumove on so through this sielewi mwisho itakuaje coz ananiambia hata huyo aliyenaye saa hizi anaweza asiwe naye katika maisha ya badaye yani simuelewi kabisa.
Ila tukiwasiliana ananiambia ana mawazo mengi sana anatamani turudiane tulee familia lakini kuna muda anatamani kama aendelee kumove on so through this sielewi mwisho itakuaje coz ananiambia hata huyo aliyenaye saa hizi anaweza asiwe naye katika maisha ya badaye yani simuelewi kabisa.