Naombeni mnipe ridhaa ya kujiunga nanyi wana jf.

Kima mdogo

JF-Expert Member
Sep 17, 2011
303
46
Nimevutiwa sana na michango ya wana jf katika mambo mengi sana hasa katika siasa. MIMI NI MTANZANIA,MUISLAMU NA MWANACHAMA HAI WA CDM. NAOMBENI MNIPOKEE.
 
Nimevujiwa sana na michango ya wana jf katika mambo mengi sana hasa katika siasa. MIMI NI MTANZANIA,MUISLAMU NA MWANACHAMA HAI WA CDM. NAOMBENI MNIPOKEE.
<br />
<br />

Karibu sana, ila JF haina itikadi ya chama chochote wala dini yoyote! Karibu tujenge nchi yetu!
 
teh teh, jina lako lina utata best! Mfaano mtu akikwambia wewe kima sisi hapa tumekutana watu wa vyama tofauti tofauti usije feel bad. Krb JF best where we dare to talk openly!
 
teh teh, jina lako lina utata best! Mfaano mtu akikwambia wewe kima sisi hapa tumekutana watu wa vyama tofauti tofauti usije feel bad. Krb JF best where we dare to talk openly!
<br /> <br / ah mbona kuwa vyama tofauti ni kawaida sn,mbona marehemu baba alikua amekunywa maji ya bendera ya kijani(ccm) mama cuf, dada udp, kaka tlp, dogo yy ni mweka hazina wa dp, mm cdm na tunapika na kula meza 1.
 
Nimevutiwa sana na michango na mawazo yenu yote, naomben mnipokee nijumuike nanyi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom