Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,714
Wakuu mambo vipi..
Kwa wanaume mliopo kwenye ndoa , embu nipeni maujanja ya kuto kuichoka papuchi ya wake zenu,
Maana kuna kesi nyingi nazisikia za wanaume kuwa kuna kipindi unaichoka papuchi ya mke wako, yani una gegeda tu kama jukumu lako tu , ila kiukweli umeizoea , na hauna hata mzukha nayo kabisa.
Sasa mimi natarajia kuingia kwenye ndoa soon mungu akipenda na sitaki kuchepuka ..
Ila hiyo hali ya kutokuwa na hamu na papuchi ya mkeo inakuwaje?? And how to get rid out of this scenario??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa wanaume mliopo kwenye ndoa , embu nipeni maujanja ya kuto kuichoka papuchi ya wake zenu,
Maana kuna kesi nyingi nazisikia za wanaume kuwa kuna kipindi unaichoka papuchi ya mke wako, yani una gegeda tu kama jukumu lako tu , ila kiukweli umeizoea , na hauna hata mzukha nayo kabisa.
Sasa mimi natarajia kuingia kwenye ndoa soon mungu akipenda na sitaki kuchepuka ..
Ila hiyo hali ya kutokuwa na hamu na papuchi ya mkeo inakuwaje?? And how to get rid out of this scenario??
Sent from my iPhone using JamiiForums