Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,713
- 45,095
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dotto James na Mwenyekiti wa Uvccm Heri James ni ndugu au majina yamefanana tu?
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dotto James na Mwenyekiti wa Uvccm Heri James ni ndugu au majina yamefanana tu?
hahah unatania au?Ni ukoo Wa jiwe upande wa Dada.
Kama siko sahihi wajuzi watatusaidia.hahah unatania au?
wote ni wapwa wa Mr JohnKatibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dotto James na Mwenyekiti wa Uvccm Heri James ni ndugu au majina yamefanana tu?
Ndio yule aliyekufa juzijuzi?wote ni wapwa wa Mr John
wote wana muita Mr john anko (anko ya dada na kaka SIYO kama wewe unavyomwita.anko wakati huna undugu naye)
wote mama yao katokea chattle
Ongeza na James LemberiKatibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dotto James na Mwenyekiti wa Uvccm Heri James ni ndugu au majina yamefanana tu?
hapo cjapata confirmation .lakini sidhani kama Ni yeye HAPANANdio yule aliyekufa juzijuzi?
Attention anapataje mpwa wakati mwnye Dada ndo rahisi aka jiwe aka Mr misifa.hapo cjapata confirmation .lakini sidhani kama Ni yeye HAPANA
Coz angekuwa yeye bila shaka mr dotto angepata attention
I mean attention wakati wa msiba wa dada (if angekuwa mama yake)Attention anapataje mpwa wakati mwnye Dada ndo rahisi aka jiwe aka Mr misifa.
Si ndo alifunikwa na jiwe mkuu.....let's say umefiwa na Dada hafu ww ndo mkuu wa mkoa ila mtoto wake ni afisa elimu....unazan atakuwa mng'ao??????I mean attention wakati wa msiba wa dada (if angekuwa mama yake)