Habari zenu ndugu zangu! Samahani nataka kujua kwa sasa biashara ya uber na bolt inafaida kama gari naendesha mwenyewe?
Unaweza kukadiria average kwa siku ni shingapi mkuu?Faida ipo kiasi chake.. gari zimekua nyingi nazo.. mafuta pia.. ila kila mtu anapata rizki ake
Naam kwa pikipiki kima Cha chini amekosa kabisa 40000,bajaji 50000 hivyo hivyo .Unaweza kukadiria average kwa siku ni shingapi mkuu?
Uber gari boss nako vipi?Naam kwa pikipiki kima Cha chini amekosa kabisa 40000,bajaji 50000 hivyo hivyo .
Roughly faida ni 50000+ per day techniques za kufaidi na kupiga pesa ktk bolt&Uber ni hizi..
-Amka asubuhi fanya kazi kuanzia saa 12 asubuhi Hadi nne kamili aaubuhi pumzika Tisa kamili Rudi barabarani Hadi mbili kamili au tatu kamili..
-Jipange shift ya usiku,mara nyingi hua na pesa sana, kwanini !!wengi hua wanakua wamelala,idadi ya wanaorequest hua ni kubwa kuliko wanaotoa huduma.
*Changamoto ya usiku ni kufanyiwa uhalifu na kuporwa pikipiki Kama utakua na umakini ktk hilo piga kazi.
-Anza Tisa kamili mchana Hadi 5 nanusu usiku panatosha kabisa
🤔Uber gari boss nako vipi?