gipsfuture
Member
- Aug 16, 2012
- 6
- 0
Hlw JF Naombeni mchango wenu utakao nisaidia kuishi na mtu mwenye roho mbaya....(Asie penda maendeleo ya mwenzie)
Hlw JF Naombeni mchango wenu utakao nisaidia kuishi na mtu mwenye roho mbaya....(Asie penda maendeleo ya mwenzie)
Hlw JF Nimuda mrefu sasa nimekuwa nikiishi na rafiki mwenye roho mbaya A.K.A Roho ya kwanini...Kila ninapo pata mafanikio fulani yeye hunichunia...NIFANYEJE???????????
Hlw JF Naombeni mchango wenu utakao nisaidia kuishi na mtu mwenye roho mbaya....(Asie penda maendeleo ya mwenzie)
rafiki ni mtu anayekutakia mema,huyo cjui kama bado ni rafikiHlw JF
Nimuda mrefu sasa nimekuwa nikiishi na rafiki mwenye roho mbaya A.K.A
Roho ya kwanini...Kila ninapo pata mafanikio fulani yeye
hunichunia...NIFANYEJE???????????
rafiki yako au adui yako?