Wa-kishua
Member
- Apr 10, 2021
- 29
- 24
Mimi niko na shida niko na rafiki yangu yaani anaweza kukwambia kitu halafu ni cha kweli ukimuuliza anakwambia ni ndoto zangu huwa naota ni za kweli. Kwa mfano nilikua naumwa sikumwambia akanitafuta akaniambia nimeota unaumwa, nikamdanganya sio kweli ila ni kweli nilikua naumwa.
Hatari kuna siku nilienda sehemu akanipigia simu akaniuliza uko sehemu fulani nikamwambia ndio sasa nikijaribu kumuuliza anasema yeye huwa anaotaga vitu vya kweli yaan kusema kweli ni nimetokea kumuogopa.
Hivi hii kitu inawezekana kweli we kila siku unaoteshwa wewe tu?
Hatari kuna siku nilienda sehemu akanipigia simu akaniuliza uko sehemu fulani nikamwambia ndio sasa nikijaribu kumuuliza anasema yeye huwa anaotaga vitu vya kweli yaan kusema kweli ni nimetokea kumuogopa.
Hivi hii kitu inawezekana kweli we kila siku unaoteshwa wewe tu?