Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,766
Habarini za leo Jumamosi poleni na mihangaiko ya wiki nzima matumaini yangu kuwa wote mpo wazima kabisa wa buheri .
Twende kwenye mada yetu husika na pendwa kama ilivyotajwa hapo juu rejea kichwa cha habari. Kumekuwa na nadharia mbalimbali kuhusu swala la Kuoa kumekuwa na Mitazamo chanya kwa watu mbali mbali kuhusu kuoa miongoni mwao ni Mimi .
Ukimwambia Mtu kuwa nataka kuoa cha kwanza atakuambia .TAFUTA PESA , UNA PESA .Mimi nimekuwa nikishindwa kuelewa kila mtu ukimshirikisha swala hili ushauri ni ule ule sio kwa wakubwa wala wadogo majibu yao ni yale yale
Sasa Tutafute pesa ili tuweze kuoa sio na ukishakuwa na pesa unaweza kuoa .Ama tutàfute pesa tuweze kufanya Mambo yafuatayo sio huu ni mtazamo wangu
1 tutàfute pesa tuweze kufanya sherehe kubwaa na ya kifari
2 tutafute pesa ya kumgharamikia bibi harusi
3. Tutafute pesa tuweze kualika watu wengi
Watu wamekuwa wakiamini kuwa ukiwa na PESA ndo kila kitu kwenye ndoa jambo ambalo halina ukweli
Tupe mtazamo wako juu ya mtu akitaka kuoa
Nawakatia maandalizi ya weekend njema all of you
Twende kwenye mada yetu husika na pendwa kama ilivyotajwa hapo juu rejea kichwa cha habari. Kumekuwa na nadharia mbalimbali kuhusu swala la Kuoa kumekuwa na Mitazamo chanya kwa watu mbali mbali kuhusu kuoa miongoni mwao ni Mimi .
Ukimwambia Mtu kuwa nataka kuoa cha kwanza atakuambia .TAFUTA PESA , UNA PESA .Mimi nimekuwa nikishindwa kuelewa kila mtu ukimshirikisha swala hili ushauri ni ule ule sio kwa wakubwa wala wadogo majibu yao ni yale yale
Sasa Tutafute pesa ili tuweze kuoa sio na ukishakuwa na pesa unaweza kuoa .Ama tutàfute pesa tuweze kufanya Mambo yafuatayo sio huu ni mtazamo wangu
1 tutàfute pesa tuweze kufanya sherehe kubwaa na ya kifari
2 tutafute pesa ya kumgharamikia bibi harusi
3. Tutafute pesa tuweze kualika watu wengi
Watu wamekuwa wakiamini kuwa ukiwa na PESA ndo kila kitu kwenye ndoa jambo ambalo halina ukweli
Tupe mtazamo wako juu ya mtu akitaka kuoa
Nawakatia maandalizi ya weekend njema all of you