MAPUMA MIYOGA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,792
- 2,362
Wana JF,
naombeni kwa waliopo Iramba magharibi kuna mkutano wa CDM unaendelea hivi sasa. Taarifa zinasema msafara wa Dr. Slaa ndio unakaribia kuingia kiomboi.
Kama mwana-IRAMBA nimefurahi ujio wa ukombozi wa kifikra kwa watu wa hapo mitaani kwetu, taarifa zinasema vijana kwa wazee toka Kisana, kisiriri, kisimba, kinampanda, kinambeu, mampanta, misigiri, ulemo, ndago na kwingine kote unakokujua wamekubali kulipa NAULI na kwenda kusikia Ujumbe wa Dr. Slaa.
NAOMBENI LIVE UPDATES PLEASE, Maana habari kupitia simu sijaridhika sawa sawa. na pia kuna habari ya mbunge kutaka watu wasiende kwenye mkutano badala yake waangalie mpira kati ya Simba na Polisi Jamii hapo kiomboi, Kipi bora hadi sasa, mpira au katiba na CDM vinavyoenda kuzungumziwa na Dr. Slaa-I wanna know
cc M.Mtoi
T. Makene
Mwigulu Nchemba
naombeni kwa waliopo Iramba magharibi kuna mkutano wa CDM unaendelea hivi sasa. Taarifa zinasema msafara wa Dr. Slaa ndio unakaribia kuingia kiomboi.
Kama mwana-IRAMBA nimefurahi ujio wa ukombozi wa kifikra kwa watu wa hapo mitaani kwetu, taarifa zinasema vijana kwa wazee toka Kisana, kisiriri, kisimba, kinampanda, kinambeu, mampanta, misigiri, ulemo, ndago na kwingine kote unakokujua wamekubali kulipa NAULI na kwenda kusikia Ujumbe wa Dr. Slaa.
NAOMBENI LIVE UPDATES PLEASE, Maana habari kupitia simu sijaridhika sawa sawa. na pia kuna habari ya mbunge kutaka watu wasiende kwenye mkutano badala yake waangalie mpira kati ya Simba na Polisi Jamii hapo kiomboi, Kipi bora hadi sasa, mpira au katiba na CDM vinavyoenda kuzungumziwa na Dr. Slaa-I wanna know
cc M.Mtoi
T. Makene
Mwigulu Nchemba