Naombeni link ya 2022 Pepsi Super Bowl LVI halftime full show wakuu. Thanks

Niache Nteseke

JF-Expert Member
Apr 29, 2020
1,857
2,074
Heshima kwenu wakuu.

Kuna show moja kali sana ikijumuisha Mary J. Blige, Dr. Dre, Snoop Dogg, Eminem, 50 Cent, Kendrick Lamar et al.

Naomba kama kuna mtu ana link ya full show anisaidie nitazame unyama wa hawa jamaa aisee.

Najua JF ni kisiwa kikubwa kilichosheni wadau wa kila aina, hivyo natumai ombi nimelileta sehemu husika kabisa wakuu.

Natanguliza shukran zangu za dhati kwenu wakuu.

Thanks in advance.
 
Heshima kwenu wakuu.

Kuna show moja kali sana ikijumuisha Mary J. Blige, Dr. Dre, Snoop Dogg, Eminem, 50 Cent, Kendrick Lamar et al.

Naomba kama kuna mtu ana link ya full show anisaidie nitazame unyama wa hawa jamaa aisee.

Najua JF ni kisiwa kikubwa kilichosheni wadau wa kila aina, hivyo natumai ombi nimelileta sehemu husika kabisa wakuu.

Natanguliza shukran zangu za dhati kwenu wakuu.

Thanks in advance.
Nenda Youtube search "Superbowl half time dhow 2022"

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Sijajua ni dakika ngapi bro ila nimewaza tu kuwa show kubwa kama ile haiwezi kutumia robo natumai itakuwepo yenye dakika nyingi zaidi, mwanzo mpaka mwisho wa show mkuu...!
Nimecheki kote hadi official nfl site ni dk 14, wameandika Half time show, Pengine ni show ndogo tu ya mapumziko
 
Sijajua kiongozi labda ni kweli ngoja tumuulize jamaa yetu hapa atuambie.

Eti mkuu Jorge WIP hiyo show inakuwa na dakika chache kiasi hiko mkuu...?

hiyo ni halftime Show inakuwaga hivyo wakati wa mapunziko(American football) sio concert ya kukesha kama ulizan hivyo... huku kwetu tuna normal football hao wanaiita soccer kwahiyo ni dakika chache kama mech ya simba na yanga mapunziko diamond apige show

Ukitaka full labda uwe unataka kuangalia mechi uone touchdowns
 
hiyo ni halftime Show inakuwaga hivyo wakati wa mapunziko(American football) sio concert ya kukesha kama ulizan hivyo... huku kwetu tuna normal football hao wanaiita soccer kwahiyo ni dakika chache kama mech ya simba na yanga mapunziko diamond apige show

Ukitaka full labda uwe unataka kuangalia mechi uone touchdowns
Iliyopo ndiyo full mkuu dakika 14.

Hapo nimewapata vyema wakuu hata nimeona jinsi inavyoanza mpaka inapoishia ni sahihi kabisa kiongozi.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom