Naombeni kwa mwenye ujuzi anisaidie namna ya kuambatanisha nakala za vyeti

iCode

JF-Expert Member
Oct 16, 2013
758
439
Amani na iwe nanyi.
Juzi Tanapa walitangaza nafasi za ajira kwa Askari wa wanyamapori, namna ya Application inamtaka mhusika afanye application katika website ambayo inasaidia Tanapa kufanya hiyo recruitment..
Inaitwa ArutiHR na katika kujaza details zote Nimekosa sehemu ya kufanya attachment ya vyeti.
Naombeni kwa mwenye ujuzi anisaidie namna ya kuambatanisha nakala za vyeti. Kwenye tangazo lao imeelekezwa Kuweka vyeti husika.

Nawasilisha.
 
Asante mkuu Wazabanga... Ila nipo mbali na mji
 
Asante mkuu Wazabanga... Ila nipo mbali na mji
Samahani sijaingia kwenye hiyo recruitment portal ila nitakujibu kwa uzoefu.

Jaribu kubadilisha browser unayotumia, kama ulikua unatumia kwenye pc hamia kwenye simu halafu jaribu kutumia UC Browser.
Pia kaa katika eneo ambalo mtandao hautakua unasumbua.
 
Samahani sijaingia kwenye hiyo recruitment portal ila nitakujibu kwa uzoefu.

Jaribu kubadilisha browser unayotumia, kama ulikua unatumia kwenye pc hamia kwenye simu halafu jaribu kutumia UC Browser.
Pia kaa katika eneo ambalo mtandao hautakua unasumbus.
Asante mkuu Castr.
Nilifanya application kwa computer nikapata hiyo Challenge, nilitumia Google Chrome, wakati huo hata haikubali kusearch jobs.. Ila nilipokuja kutumia uc browser ya simu yangu ikawa inafanya kazi vyema. Lakini Kipengele cha kuattach vyeti Sijakiona mpaka sasa.
 
Asante mkuu Castr.
Nilifanya application kwa computer nikapata hiyo Challenge, nilitumia Google Chrome, wakati huo hata haikubali kusearch jobs.. Ila nilipokuja kutumia uc browser ya simu yangu ikawa inafanya kazi vyema. Lakini Kipengele cha kuattach vyeti Sijakiona mpaka sasa.
Kama ni hivyo hapo itakua kuna kipengele labda hakijakamilika, ila kabla ya kuhitimisha hivyo icheki Opera inaweza ikafanya kilichoshindwa mwenzake. Au tumia Mozilla kwa pc.

Hapa sasa tunahitaji mtu ambaye naye amekutana na kitu kama hicho atoe mwanga kwa upande wake.
 
Asante mkuu Castr.
Nilifanya application kwa computer nikapata hiyo Challenge, nilitumia Google Chrome, wakati huo hata haikubali kusearch jobs.. Ila nilipokuja kutumia uc browser ya simu yangu ikawa inafanya kazi vyema. Lakini Kipengele cha kuattach vyeti Sijakiona mpaka sasa.
Mbna gmail sign ya kuattachia files hiyo ipo
 
IMG_20170406_104902_824.jpg

Mbna gmail sign ya kuattachia files hiyo ipo
 
Kwa uzoefu ambao nilifanya sana mambo ya NACTE, TCU na HESLB ni kwamba usipokidhi viegezi huwezi kupewa nafasi Ku Upload attachments.

Kwa ushuri wangu ni kuwa tumia Mozilla Firefox halafu hakikisha umejaza mahitaji yote na uwe na viegezo ya kazi husika.
 
Hilo tatizo nmekutana nalo pia ila kwa taarifa zsizo rasmi system yao hiyo ya aruti iko katika marekebisho

Ni wengi tumeshindwa kufanya application
 
Hyo system ya tanapa siyo friendly user kabisa vitu vingi vinamis,hyo sehemu ya attachnments haipo labda waweke sasa hivi,nimempigia mtu mmoja pale akasema ni kweli,hta wao walikua hawajagundua hilo tatizo before j3 litakua lipo sawa.
 
Hyo system ya tanapa siyo friendly user kabisa vitu vingi vinamis,hyo sehemu ya attachnments haipo labda waweke sasa hivi,nimempigia mtu mmoja pale akasema ni kweli,hta wao walikua hawajagundua hilo tatizo before j3 litakua lipo sawa.
Asante mkuu..
Baraka zikufuate popote ulipo.
 
Back
Top Bottom