Ulivutiwa na nini hadi ukajiunga? Na baada ya kujiunga umefundishwa semina za maisha ya kiroho?Heshima kwenu wadau
niombe mods msaada wa kuto kuihamisha mada hii, nimekua naisikia muda mrefu karsmatki ndani ya kanisa katoliki na pia nimejiunga nayo ila sijajua definition yake ninini na kazi yake katika kanisa ninini? ndio hivyo tu, waungwana
Ndo maana nchi haiendelei, yaani unajiunga na CCM halafu hujui hiki chama kina wajibu gani au faida gani kwako?Heshima kwenu wadau
niombe mods msaada wa kuto kuihamisha mada hii, nimekua naisikia muda mrefu karsmatki ndani ya kanisa katoliki na pia nimejiunga nayo ila sijajua definition yake ninini na kazi yake katika kanisa ninini? ndio hivyo tu, waungwana
Unasali mara ngapi kwa siku? Unasoma Neno mara ngapi kwa siku?ni msukumo tu ulinitokea baada ya kutiwa moyo na mama mmoja, ndio smk nimepitia.
Mbinu gani chafu ya Ibilisi iliyojionesha Karismatic Katoliki , fafanua vizuri mkuu watu waeleweKarsmatiki ukatolikini bado ni mpango wa ibilisi ktk kuwafanya wakatoliki wasiuelewe WOKOVU ni nini na ni nini cha kufanya ili waupokee wokovu. Ndugu karibu kwenye makusanyiko ya watu waliookoka ndipo utapoweza kuijua mbinu hii ya ibilisi. (ukiwa humo hutoweza kuijua). God bless U.
Unahaingika sana..Karsmatiki ukatolikini bado ni mpango wa ibilisi ktk kuwafanya wakatoliki wasiuelewe WOKOVU ni nini na ni nini cha kufanya ili waupokee wokovu. Ndugu karibu kwenye makusanyiko ya watu waliookoka ndipo utapoweza kuijua mbinu hii ya ibilisi. (ukiwa humo hutoweza kuijua). God bless U.
Kama umejiunga nao wewe u mmojawao. Kwa nini usiwaombe washirika wenzako ili upate maelezo na maandishi sahihi?Heshima kwenu wadau
Nimekua naisikia muda mrefu karsmatki ndani ya kanisa katoliki na pia nimejiunga nayo ila sijajua definition yake ninini na kazi yake katika kanisa ni nini? ndio hivyo tu, waungwana.