msela kuntu
Senior Member
- Jun 28, 2019
- 116
- 183
Naombeni kuuliza kwa wale wenye uzoefu na professional ya Docta nina ndugu yangu ni mgonjwa wa akili na hii imetokana baada ya kujijua ana HIV usiku huwa anasumbua sana anawasha moto vitu na kuharibu hivyo tukaona tumtafutie dawa ya usingizi ili usiku tumchanganyie kwenye chakula usiku akila alale maana hata akifungiwa bila huwa anapiga sana kelele
kuna watu wamenipa maoni na majina ya dawa naomba kujua tofauti ya dawa nilizopewa na kazi yake
- benzodiazepini
- Barbiturates
- Tabs amityplyne 25mg od 10days
- pascaliam 1bd 10days
- Diazepam
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna watu wamenipa maoni na majina ya dawa naomba kujua tofauti ya dawa nilizopewa na kazi yake
- benzodiazepini
- Barbiturates
- Tabs amityplyne 25mg od 10days
- pascaliam 1bd 10days
- Diazepam
Sent using Jamii Forums mobile app