Naombeni kujuzwa kwa hili

Emanuel Makofia

JF-Expert Member
Jan 5, 2010
3,832
630
WanaJF wakati tunakaribia kuanza weekend tafadhalini naombeni mnijuze nitapata wapi GYM nzuri maeneo ya Kinondoni kwa sababu ni eneo rahisi kwangu kutokana na office sitaki ile ya pale maji machafu aka sayansi.

Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom