Naombeni kujua sifa za kujiunga clinical officer 2016/2017 tafadhali

A.J

Senior Member
Jun 9, 2015
139
147
Naombeni kujua sifa za muombaji wa clinical officer na pia vyuo vizuri kwa kutoa course hiyo, pia naulzia NACTE wanaweza fungua udahil tena mpaka lini? Mimi nilikuwa Dodoma special dip baada ya kutimuliwa chuo na kuona hakuna kinachoendelea nimeamua niangalie tuu utaratibu mwingne wa kutafuta chuo.

Lakini ikawa bahati mbaya kwangu kwani tuliondoka chuo tar 29 may na tar 31 June ikawa ndio mwisho wa udahili NACTE, Je kwa sasa hivi unaweza jisajili tu chuo phyisically bila hata kupitia NACTE? Nipo home sielewi nifanye nini na muda unazid kwenda nazidi pata stress, mimi ndio mtoto wa kwanza na wa kiume home. Nisaidieni kwa hilo pia kama kuna ushauri tushauriane wadau, nimeleta hiyo kitu huku kwa sababu najua kuna wakubwa zangu.
 
Kwa cнeтι cнa o level υѕe na C ĸwenye PCB.nacтe wanaғυngυa weeĸ ιjayo,Cнυo ĸιzυrι ĸιngιne IPO Moro ѕт Francιѕ
 
Kwa cнeтι cнa o level υѕe na C ĸwenye PCB.nacтe wanaғυngυa weeĸ ιjayo,Cнυo ĸιzυrι ĸιngιne IPO Moro ѕт Francιѕ
Bro inaweza ikawezekana kwel? Coz phy hyo nna D. Yan ktk masomo yoote nina D 2 ambazo ni math na phy. Je itawezekana?
 
Bro inaweza ikawezekana kwel? Coz phy hyo nna D. Yan ktk masomo yoote nina D 2 ambazo ni math na phy. Je itawezekana?
Sifa za kujiunga na (co) kwa ngaz ya cht yakupasa uwe na pass zifuatazo chem D bios D phys D na kwa ngaz ya diplma lazma uwe na cretd 2 ya chem C na bios C ikiwemo phys D kwa (lab) lazma uwe na D Ya hesab na Engl kwa vyote ether cetft or diplm: angalia hapo kama sifa unazo kama zpo kuhusu vyuo nakushaur uchague vyuo vilivyo nje ya mjini baada ya nacte kufungua muda wa nyongeza kufanya maombi ###asant
 
Naombeni kujua sifa za muombaji wa CO na pia vyuo vizur kwa kutoa course hyo, pia naulzia nacte wanaweza fungua udahil tena mpk lini? Mimi nilkuwa dodoma special dip baada ya kutimuliwa chuo na kuona hakuna kinachoendelea nmeamua niangalie tuu utaratib mwingne wa kutafuta chuo, lakini ikawa bahati mbaya kwangu kwani tuliondoka chuo tar 29 may na tar 31 june ikawa ndio mwisho wa udahili NACTE,je kwa ss hv unaweza jisajil tu chuo phyisically bla ht kupitia NACTE? Nipo hom sielewi nifanye nn na muda unazid kwenda nazid pata stress, mm ndo mtoto wa kwanza na wa kiume home. Nisaidien kwa hlo pia km kuna ushaur tushauriane wadau, nmeleta hyo ktu huk coz najua kuna wakubwa zangu

Usijal mdogo wangu hapa utapata mawazo ya watu wazoefu nimesoma post yako nimeona unakiu ya maendeleo nataman kukusaidia ila sina uelewa wa masuala hayo keep on u will make it
 
ok acha nijitolee kwako!! vyuo vipo vingi sana we unataka chuo mkoa gani? private au government?
 
Kuna chuo kipo moshi...Machame clinical officer training center is among of best college in Tz jiandae tu ward round za kutosha na presentation za kutosha...kingine kiko mwanza Serengerema cotc vyote hivyo private nakuna Kibaha cotc kiko pwani ni gvt...
 
Kuna chuo kipo moshi...Machame clinical officer training center is among of best college in Tz jiandae tu ward round za kutosha na presentation za kutosha...kingine kiko mwanza Serengerema cotc vyote hivyo private nakuna Kibaha cotc kiko pwani ni gvt...
Dah asante brodha, ah mm npo kibaha, kuna baadh wamenishaur niende hapo kibaha cotc, ila nmeona sio mbaya km nkipanua mawazo katika kujua college nyingne ambazo znaweza zkawa na ubora kuzid hapa. Ila nna mpango pia dis week niende nkaulizie pale utaratib ukoje na pia niulze ht stdents wa pale hali ipoje na je ni pazur kwa kwenda kujiunga! Bt thanx sana bro
 
Usijal mdogo wangu hapa utapata mawazo ya watu wazoefu nimesoma post yako nimeona unakiu ya maendeleo nataman kukusaidia ila sina uelewa wa masuala hayo keep on u will make it
Dah yan ndo hvyo kk,naamin ntaweza tu. Yan nataman san familia yang iishi kdg maisha mazur kupitia mm ndomana nakuw na mawazo sn asee. Wadogo zang watantegemea, ht watoto wangu pia km nkijaaliwa. Uanaume ndo huu kaka!
 
Back
Top Bottom