Naombeni kujua kwa nini binadamu haoni gizani?

Photoreceptor cell-kuna cones and rods. cones inamuwezesha kiumbe kuona zaidi wakati wa usiku na rods inamuwezesha kiumbe kuona zaid wakati wa mchana.

Hivyo basi uoni hafifu wa binadamu wakati wa usiku kunachagizwa na uchache wa photoreceptor cell aina ya cones na uoni ang'avu zaidi wakati wa mchana ni uwingi wa rodes. Refer to popo why anaona zaidi usiku kuliko mchana. etc
 
Photoreceptor cell-kuna cones and rods. cones inamuwezesha kiumbe kuona zaidi wakati wa usiku na rods inamuwezesha kiumbe kuona zaid wakati wa mchana.

Hivyo basi uoni hafifu wa binadamu wakati wa usiku kunachagizwa na uchache wa photoreceptor cell aina ya cones na uoni ang'avu zaidi wakati wa mchana ni uwingi wa rodes. Refer to popo why anaona zaidi usiku kuliko mchana. etc
kuna mtu kanambia kuna uhusiano kati ya mwang wa jua na kuona! ni ya kweli boss.
 
Macho yana receptors zinazoweza tu kutafsiri mwanga kwa kureflect katika spectrum range fulani ya light visible light. Hii ni kati ya 390-780 nm. Kitu chochote chenye kutoa mwanga katika hii wavelength kitakuwezesha kuona. Katika Giza hakuna visible light ya hii range
 
Kwenye macho kuna vitu vinaitwa photoreceptor cells ambazo huwa zipo Aina mbili ya Kwanza no cones kwa ajili yakumwezesha mtu kuona wakati wa mchana pia hii huweza kufanya kitu kinaitwa color vision hii ndio inafanya macho yaweze kuona vizuri kitu kwa rangi yake halisi na ya pili mi rode ambayo huyawezesha macho kuona wakati wa usiku Sasa basi wakati wa usiku macho yanashindwa kuona vizuri kwa sababu hayawezi kufanya kitu kinaitwa color vision

Rod cells are more sensitive than cone cells and are almost entirely responsible for night vision. However, rods have little role in color vision, which is the main reason why colors are much less apparent in dim light.
 
Kwa sababu alitakiwa alale, asimove kuna hatari nyingi usiku kuliko mchana-evolutionary perspective...ofcourse napiga soga..lol
 
Habari wana jamii! naomben kujua kuhusu hili! Kwanini binadamu haoni gizani?:rolleyes:
Ikitokea ukakakaaa kwenye Giza muda mrefu said ya mweIi uwe kwenye giza tu unakuwa unaweza kuona vizuliii gizani lkn ukitoka ktk mwanga unakuwa hauwoni vizuli kwenye mwanga, na ukirudi kukaa tena ktk mwanga kwa maisha ya kawaida unakuwa hauweoni tena kwenye giza
 
Photoreceptor cell-kuna cones and rods. cones inamuwezesha kiumbe kuona zaidi wakati wa usiku na rods inamuwezesha kiumbe kuona zaid wakati wa mchana.

Hivyo basi uoni hafifu wa binadamu wakati wa usiku kunachagizwa na uchache wa photoreceptor cell aina ya cones na uoni ang'avu zaidi wakati wa mchana ni uwingi wa rodes. Refer to popo why anaona zaidi usiku kuliko mchana. etc
Umemaliza sina hata nyongeza nliwahi kufuatilia hii. Ila kuna miwani haijawa common inatumika na jeshi la marekani ukiivaa unaona fresh tu gizani
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom