exalioth JF-Expert Member Jun 22, 2016 2,189 3,684 Nov 8, 2021 #1 Nmenunua jezi ya simba je jiina la yanga linamaana gani
mikononyuma JF-Expert Member Jul 8, 2015 642 594 Nov 8, 2021 #2 exalioth said: Nmenunua jezi ya simba je jiina la yanga linamaana ganiView attachment 2002974 Click to expand... Ndio brand ya bidhaa iyo!!!!! JOKE
exalioth said: Nmenunua jezi ya simba je jiina la yanga linamaana ganiView attachment 2002974 Click to expand... Ndio brand ya bidhaa iyo!!!!! JOKE
NAWATAFUNA JF-Expert Member Nov 14, 2019 13,286 24,001 Nov 8, 2021 #3 Fred hapo keshapiga hela,matakataka mengine yataendelea kujadiliwa vijiweni tu,kikubwa watu wanatengeneza mpunga
Fred hapo keshapiga hela,matakataka mengine yataendelea kujadiliwa vijiweni tu,kikubwa watu wanatengeneza mpunga
exalioth JF-Expert Member Jun 22, 2016 2,189 3,684 Nov 8, 2021 Thread starter #4 NAWATAFUNA said: Fred hapo keshapiga hela,matakataka mengine yataendelea kujadiliwa vijiweni tu,kikubwa watu wanatengeneza mpunga Click to expand... mara GSM
NAWATAFUNA said: Fred hapo keshapiga hela,matakataka mengine yataendelea kujadiliwa vijiweni tu,kikubwa watu wanatengeneza mpunga Click to expand... mara GSM
pandagichiza JF-Expert Member Jul 9, 2013 4,644 3,020 Nov 8, 2021 #5 Sisi tuendelee kulumbana wakati wenyewe wanafanya biashara Hawana hata ugomvi