stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
Poleni kwa kazi..
Wakuu niko kwenye mchakato wa kupata laptop siku sio nyingi ila naombeni kujuzwa ni application zipi ambazo ni basics mie kuwa nazo.
Kwa mfano najua browser kama mozila..
Microsoft office.
Nyingine tafadhali....
Natanguliza shukrani..
Wakuu niko kwenye mchakato wa kupata laptop siku sio nyingi ila naombeni kujuzwa ni application zipi ambazo ni basics mie kuwa nazo.
Kwa mfano najua browser kama mozila..
Microsoft office.
Nyingine tafadhali....
Natanguliza shukrani..