Naombeni kufahamishwa kuhusu vyuo vya ualimu na mgawanyo wa matokeo ya mitihani yake ya necta kama ifuatavyo:
Vyuo:
1. Nini maana ya DSEE, GATCE, na GATSCCE?
Matokeo:
2. Nini maana ya distinction na credits. Na nini hatima ya waliopata distinction na credit?
3. Pass inaanzia pointi ngapi na kuishia ngapi?
4. Fail inaanzia pointi ngapi?
Vyuo:
1. Nini maana ya DSEE, GATCE, na GATSCCE?
Matokeo:
2. Nini maana ya distinction na credits. Na nini hatima ya waliopata distinction na credit?
3. Pass inaanzia pointi ngapi na kuishia ngapi?
4. Fail inaanzia pointi ngapi?