Mr Makunduchi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 996
- 491
Mashahlwaa miss nitakutafuta
dini ya kweli ni islam tu
Kama ni mtihani mwalimu anaweza asihangaike kuyasoma majibu yako mengine ukafeli... Soma vizuri swali ulielewe kisha ujibu
Ndio ulivodanganywadini ya kweli ni islam tu
Prove unachokisemanasikia benk yao imefilisika kwaiyo inabidi waumini muongezeke mkaongeze mapato
Akili zakuambiwa uchanganye na zakoYesu mwenyewe alikuwa muislam
adam alikuwa muislam
ibrahimu
isaka
yakobo
musa
yoshua
daudi
suleiman
manabii wote
mama maria
yosefu
yesu
mara ghafla wakristo huko vatican wakaleta ukristo na paulo wakaacha dini ya kweli.Mungu sio kigeugeu.islam ndo dini ya kweli
Umelishwa sumu mbaya sana kiasi kwamba utakufa nayo tu na mwisho moto wa jehanamu unakuhusu. Adam na Yesu hawakuwa na dini. Abraham na akina Isack hawakuwahi kuwa na dini. Ukristu ndiyo ilikuwa dini ya Kwanza, na Uislamu uliasisiwa na Wakatoriki ili kuiteka Israel, ingawa baadaye waliwageuka na kuwa na jeshi kubwa ambalo Vatican liliwashinda na ndicho unachokiona leo, na ndiyo maana waislamu na mapepo ni damu damu, ila ukija kwa wafuasi wa Yesu Kristu, ukisema tu ktk Jina la Yesu Kristu wa Nazareti basi hata hayo majini uliyo nayo wewe yatapiga kelelelelelelelelelele ya kuungua moto. Wewe soma hata hiyo Kurani yako inaonesha kabisa ni Yesu Pekee ndiye aliyekuja kuukomboa ulimwengu na siyo kiumbe mwingine wa kuzaliwa.Yesu mwenyewe alikuwa muislam
adam alikuwa muislam
ibrahimu
isaka
yakobo
musa
yoshua
daudi
suleiman
manabii wote
mama maria
yosefu
yesu
mara ghafla wakristo huko vatican wakaleta ukristo na paulo wakaacha dini ya kweli.Mungu sio kigeugeu.islam ndo dini ya kweli
Neno 'WaKristo' halikuanzia Vatican bali Antiokia ( kwa sasa Antakya ) huko Uturuki ya leo - Soma BIBLIA TAKATIFU Mdo.11:19-26 na Mdo.26:28Yesu mwenyewe alikuwa muislam
adam alikuwa muislam
ibrahimu
isaka
yakobo
musa
yoshua
daudi
suleiman
manabii wote
mama maria
yosefu
yesu
mara ghafla wakristo huko vatican wakaleta ukristo na paulo wakaacha dini ya kweli.Mungu sio kigeugeu.islam ndo dini ya kweli
Hujamalizia sentensi yako,dini ya kweli ni islam tu
Naamini Mwingira ni Tapeli kama walivyo matapeli wengine kama GeorDavie wanaotumia kalama zao Kupotosha maandiko na kuleta tafsir zao na kujinufaisha wao na familia zao ndo maana Ana miradi ana pesa ndefu hadi Anamiliki bank huku Misukule yake Yaani wanaomwamini wakibaki ktk umasikini, Lakini naamini MUNGU ni mwaminifu Bado kitambo kidogo watalia na kusaga meno maana Hukumu yao IPO nayo siyo mbali
Kama kichwa kisemavyo naombeni kujua kuhusu efatha maana kuna jirani Yangu ananitaka nikasali huko nashindw kukubali kwani sijui misigi yake pia maana ya Efhata na ukweli wa imani husika
Sina nia mbaya nahitaji wanaompenda Mungu wanijibu ili ikimpendeza Mungu Sikh moja nikatembee
Umenena vyema sana sasa mbona hamumfuati hiyo Yesu na Mafundisho yake sasaYesu mwenyewe alikuwa muislam
adam alikuwa muislam
ibrahimu
isaka
yakobo
musa
yoshua
daudi
suleiman
manabii wote
mama maria
yosefu
yesu
mara ghafla wakristo huko vatican wakaleta ukristo na paulo wakaacha dini ya kweli.Mungu sio kigeugeu.islam ndo dini ya kweli
Umelishwa sumu mbaya sana kiasi kwamba utakufa nayo tu na mwisho moto wa jehanamu unakuhusu. Adam na Yesu hawakuwa na dini. Abraham na akina Isack hawakuwahi kuwa na dini. Ukristu ndiyo ilikuwa dini ya Kwanza, na Uislamu uliasisiwa na Wakatoriki ili kuiteka Israel, ingawa baadaye waliwageuka na kuwa na jeshi kubwa ambalo Vatican liliwashinda na ndicho unachokiona leo, na ndiyo maana waislamu na mapepo ni damu damu, ila ukija kwa wafuasi wa Yesu Kristu, ukisema tu ktk Jina la Yesu Kristu wa Nazareti basi hata hayo majini uliyo nayo wewe yatapiga kelelelelelelelelelele ya kuungua moto. Wewe soma hata hiyo Kurani yako inaonesha kabisa ni Yesu Pekee ndiye aliyekuja kuukomboa ulimwengu na siyo kiumbe mwingine wa kuzaliwa.
Umenena vyema sana sasa mbona hamumfuati hiyo Yesu na Mafundisho yake sasa
Angali usije kumaliza mabucha wakati nyama ni ile ile.Naposali hakuna tatizo ila jirani Yangu mi muumini wa Efatha amekua akinitaka nikasali kwao japo sijaenda kwani silifahamu vizr
dini ya kweli ni islam tu
Ndo ulicho ulizwadini ya kweli ni islam tu