Naombeni kazi yoyote iliyo halali jamani, nina ari mbaya

Kujua kuandika kiswahili ni hadi usomee lugha? Siku hizi kwenye mitaala ya toka shule ya msingi hadi sekondari hamfundishwi somo la kiswahili?

Utapewa kazi na nani mtu hujui hata kiswahili? Hamsomi hata matangazo ya kazi, huwa wanaandika, "you must be fluent in english and swahili" Lijitu halijui hata tofauti ya "ari" na "hali" ulipe kazi limburura kama hilo la nini, pumbavu sana nyinyi vijana.

Tena nikikutana na lijitu la hivyo naweza kulizibua hata makofi.
Umeshasahau slogan maarufu ya

Ari mpya
Nguvu mpya na
Kasi mpya?

Au nao walikosea kuandika "Ari"?
 
Hatukuunganishi hadi ujifunze kiswahili, maana unasema una "ari", sielewi ni ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya au ari zaidi na nguvu zaidi?
Kumbe unajua, sasa mbona umeongea kama hakuna neno "Ari" kwenye Msamiati wa kiswahili?

Yupo sahihi kutumia neno Ari
 
Pole sana Mkuu, Muhimu usikate tamaa, Mungu yupo ipo siku utafanikiwa kwa namna yoyote ile.
Naelewa sana maana nilishapitia kipindi kama ulichonacho sasa. Hivyo muhimu usikate tamaa Mkuu.
 
Habari wakuu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, jinsi ni (Me), nina shahada ya kwanza ya sayansi ya chakula na teknolojia kutoka SUA. Natafuta kazi yoyote ya halali, nipo tayari kuifanya angalau nipate hela ya kula ndugu zanguni. Kwa anayeweza kunisaidia kupata vibarua viwandani naomba nisaidie, maana nina hali mbaya sana hata hela ya kula ni tatizo kwangu, nimeangahaika kupeleka nyaraka zangu za kuomba kazi sehemu mbalimbali kwa muda mrefu sasa, lakini mpaka sasa sijafanikiwa kupata kazi zaidi ya kupewa ahadi tu, kumbuka mimi sichagui kazi wala maslahi. Kwahiyo naombeni mnisaidie, mimi nipo DAR, 0758 106 501

Ahsanteni!
Nenda kabeti
 
Habari wakuu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, jinsi ni (Me), nina shahada ya kwanza ya sayansi ya chakula na teknolojia kutoka SUA. Natafuta kazi yoyote ya halali, nipo tayari kuifanya angalau nipate hela ya kula ndugu zanguni. Kwa anayeweza kunisaidia kupata vibarua viwandani naomba nisaidie, maana nina hali mbaya sana hata hela ya kula ni tatizo kwangu, nimeangahaika kupeleka nyaraka zangu za kuomba kazi sehemu mbalimbali kwa muda mrefu sasa, lakini mpaka sasa sijafanikiwa kupata kazi zaidi ya kupewa ahadi tu, kumbuka mimi sichagui kazi wala maslahi. Kwahiyo naombeni mnisaidie, mimi nipo DAR, 0758 106 501

Ahsanteni!
Mkuu upo mkoa gani?
 
Wapo ndugu au marafiki wa karibu wanaweza kumkopesha, cha msingi awaeleze anakwenda kufanya nini.
Mimi simjui ila kama rafiki, jirani au ndugu ananielezea mkakati wake vizuri namkopesha tu.
Tunakoelekea Kilimo kitakuwa kweli ndio uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania.
 
Waombe Moderators ufanye spell check urekebishe hilo tangazo lako linaweza likakokusesha kazi....

Kumbuka....., Clothes Makes a Pirate
 
Back
Top Bottom