faru joni
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 478
- 733
Msaada msaada msaada msaada
Natafuta kazi ndugu zangu watanzania wenzangu
Ata kama uta-nidalalia iyo kazi tutaelewana malipo ndugu yangu
Naombeni msaada wenu mwenye kuweza kunisaidia, maana nimeshaangaika sana kutafuta kazi ila naambulia patupu
Nimezunguka sana kwenye viwanda mbalimbali hapa dsm, naambuliwa patupu, naombeni msaada wenu, ata kama nitapata kazi ya ku-volunteer tuu, pia ntashukuru sana ndugu zangu...
Elimu yangu: degree
Fani: cyber security (ulinzi na usalama wa miundombinu ya teknolojia)
Other award: diploma in computer science (sayansi ya komputa)
Na nimekuwa mbobezi katika mambo ya
》penetration testing, kutafuta vulnerabilities, kufanya sniffing, exploits & tools, nina uelewa wa kutosha kuhusiana na social engineering
》ku-secure system kwa kutumia linux, dns, na kwa kutumia cryptography
》ku-secure connectivity kama vile switch, router, firewalls, vpn, ips(intrusion prevention system ) pamoja na ids (intrusion ditectin system) nadhani wataalum watakuwa wamenielewa kwenye ivyo vifupo
》digital forensics inverstigation (computer pamoja na simu) yaaani kutafuta ushaidi usio na shaka kuhusu tukio fulani liliofanywa kwa kutumia kifaa cha kitechnologia kama vile simu, au komputa mfano wizi, mauwaji, matumizi mabaya ya vifaa vya tehama nk
Msaada wenu waungwana
Mpaka nimeamua kuwaangukia ndugu zangu mnisaidie ujue nimeshakata tamaa baada ya kuzunguka kila sehemu pasipo mafanikio yeyote yale
Kuliko kulia peke yangu, nimeona niwalilie watanzania wenzangu mnisaidie ndugu zangu
Nimeshatafuta sana kazi, kuanzia application za online, mpaka manually
Note: kazi yeyote ile ntafanya ata kama ni nje ya taaluma yangu, na ntaifanya kwa uaminifu mkubwa mno
Mungu wabariki sana, na muwe n.a. jumapili ilio njema
No yangu: 0755836347
Napatikana: dsm-mbezi-msakuzi
Natafuta kazi ndugu zangu watanzania wenzangu
Ata kama uta-nidalalia iyo kazi tutaelewana malipo ndugu yangu
Naombeni msaada wenu mwenye kuweza kunisaidia, maana nimeshaangaika sana kutafuta kazi ila naambulia patupu
Nimezunguka sana kwenye viwanda mbalimbali hapa dsm, naambuliwa patupu, naombeni msaada wenu, ata kama nitapata kazi ya ku-volunteer tuu, pia ntashukuru sana ndugu zangu...
Elimu yangu: degree
Fani: cyber security (ulinzi na usalama wa miundombinu ya teknolojia)
Other award: diploma in computer science (sayansi ya komputa)
Na nimekuwa mbobezi katika mambo ya
》penetration testing, kutafuta vulnerabilities, kufanya sniffing, exploits & tools, nina uelewa wa kutosha kuhusiana na social engineering
》ku-secure system kwa kutumia linux, dns, na kwa kutumia cryptography
》ku-secure connectivity kama vile switch, router, firewalls, vpn, ips(intrusion prevention system ) pamoja na ids (intrusion ditectin system) nadhani wataalum watakuwa wamenielewa kwenye ivyo vifupo
》digital forensics inverstigation (computer pamoja na simu) yaaani kutafuta ushaidi usio na shaka kuhusu tukio fulani liliofanywa kwa kutumia kifaa cha kitechnologia kama vile simu, au komputa mfano wizi, mauwaji, matumizi mabaya ya vifaa vya tehama nk
Msaada wenu waungwana
Mpaka nimeamua kuwaangukia ndugu zangu mnisaidie ujue nimeshakata tamaa baada ya kuzunguka kila sehemu pasipo mafanikio yeyote yale
Kuliko kulia peke yangu, nimeona niwalilie watanzania wenzangu mnisaidie ndugu zangu
Nimeshatafuta sana kazi, kuanzia application za online, mpaka manually
Note: kazi yeyote ile ntafanya ata kama ni nje ya taaluma yangu, na ntaifanya kwa uaminifu mkubwa mno
Mungu wabariki sana, na muwe n.a. jumapili ilio njema
No yangu: 0755836347
Napatikana: dsm-mbezi-msakuzi