pascal luoga
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 232
- 257
Iko kwenye Toyota land cruiser mkonge (hard top)
Angalia kwa umakini kwenye body kuna panel imeandikwa details za engineIko kwenye toyota land cruiser mkonge (hard top)View attachment 1488316
Hiyo ni Ihz intercooler new model inakuwa na mkonga unatoka nje juu kama hizi v8 za msouth africaLand cruiser mkonge by default ilikuwa unakuja na engine ya 1hz, japo siku hizi Kuna amabzo zinakuja na 1vd ambayo ni diesel v8 configuration, kwa kunangalia juju juju naona intercooler hapo inawezekana kabisa ikawa Ni 1vd
Sent
Land cruiser mkonge by default ilikuwa unakuja na engine ya 1hz, japo siku hizi Kuna amabzo zinakuja na 1vd ambayo ni diesel v8 configuration, kwa kunangalia juju juju naona intercooler hapo inawezekana kabisa ikawa Ni 1vd
Sent
+1Picha si nzuri kutoa jibu la uhakika,ila kwa uzoefu na uonekano wa hiyo engine kwenye picha,naona hapo mbele kuna nafasi kubwa imebaki. Kwa hiyo engine haiwezi kuwa inline six,maana size ya inline six ni kubwa kuliko V8 configurations. Kitu cha pili naona kuna intercooler hapo sasa engine ya V8 configuration yenye intercooler nadhani ni 1VD-FTV.
Ihd kwenye landrcuiset mkonge nayo ni afimu Sana ,Iko version ya 1hd fte ipo kwa lx ina intercooler
Nadhan yeye ametoa Kama clue , jibu analo I guessAngalia kwa umakini kwenye body kuna panel imeandikwa details za engine
Iko kwenye Toyota land cruiser mkonge (hard top)View attachment 1488316
1HZ sijawahi ona wala sikia imefungwa kwenye mkonge. Ni engine ndogo kwa mkonge,labda kama unataka mkonge uende kama passo.+1
Kuna mdau anasema hiyo Ni 1hz yenye intercooler ndo kichwa kinaniuma sijawahi ona turbocharged 1hz
Sent
Perfect uko sawia, ni 1vd ftv. Nilipata jbu kama lako sehemuPicha si nzuri kutoa jibu la uhakika,ila kwa uzoefu na uonekano wa hiyo engine kwenye picha,naona hapo mbele kuna nafasi kubwa imebaki. Kwa hiyo engine haiwezi kuwa inline six,maana size ya inline six ni kubwa kuliko V8 configurations. Kitu cha pili naona kuna intercooler hapo sasa engine ya V8 configuration yenye intercooler nadhani ni 1VD-FTV.
Mkuu unamaanisha au unatania ? by default mkonge unakuja na engine hiyo ya 1hz1HZ sijawahi ona wala sikia imefungwa kwenye mkonge. Ni engine ndogo kwa mkonge,labda kama unataka mkonge uende kama passo.
Mkuu nilichanganya madesa hapo.Hiyo ni inline six kwa hiyo haina tatizo kwa mkonge.Mkuu unamaanisha au unatania ? by default mkonge unakuja na engine hiyo ya 1hz
Sent