Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Kwa nini haiwezekani kutafuna na kupiga mluzi kwa wakati mmoja?
mi mhandisi bana hapo kwa vile hakuna kalkulasi wala eksiponensho fangsheni thijaelewa kabisaaa unamaanisha nini..........Ni kwasababu ILE KIUNGO INAITWA oesophagus inakuwa interrupted na loin katika ku'exaggerate linguistic-ability kwenye internal hypothalamus!
Ni hivyo tu, hakuna jinsi ingine..gooosh!
Labda wewe tu huwezi....hii inawezekana bana........Kwa nini haiwezekani kutafuna na kupiga mluzi kwa wakati mmoja?