Naomben ushauri wenu wakuu kwa ufaulu huu

Xhija jilatu

Member
Feb 4, 2017
24
26
Nmehitim 4m4 mwaka Jana
Matokeo angu yakawa division 4 ya point 26
History D
English C
Literature C
Kiswahili D
Civics D
Geography D
Biology D
Mathematics F
Sasa nlikuwa Nina hamu ya kusoma ualimu cjui nfanye nini???
Tafadhali naombeni mawazo yenu
 
Point 1 tu ndo imekugharimu kijana..
So nenda Chuo cha serikali za mitaa (utawala) HOMBOLO DODOMA upige msuli pale.. ukitoka na Diploma yako Dont regret never
 
Ahsanten Sana ndgu zang mnaweza kunpata watsap kwa 0626393692 lkn hiyo ya serikali za mtaa ajra vp na Kama unamawasiliano na hicho chuo naomba unitumie samahan
 
Back
Top Bottom