ShukranI mkuu.Tumia flash. Inabidi uingie kwenye BIOS uruhusu computer yako ku-boot toka kwenye flash. Hapo unatakiwa uwe na flash yenye 5gb au zaidi, uweke .iso file humo kwa kutumia program maalum kama Power ISO (tengeneza bootable flash). Zima computer, chomeka flash, washa komputa, install win10
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Unapata kwenye website ya microsoft kama ni hizi windows mpya.je ntapataj hizo software za na kuziwek kweny flash kam Natak kupiga window mpya
Kwani wewe unaweka yenyewe?Hizi biashara za next next finish ndo zimetufanya wengi tuliolipa ada zetu kusomea computer vyuo vikuu kuachana kabisa na ishu za installation. Mi ukiniitia kazi yako bila elf hamsini kufanya installatio siji, ita tu wanaoita kupiga windo chini. Maana ukizubaa unalipwa elf kumi haitoshi hata petroli ya gari
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya backup
Nilimjibu huyo jamaa niliye M quotekivip mkuu
Software za kuchakachua boss!!!
Sometime zinakuwaga na virus (trojan)
Hujasoma pekee yako na ss tumesomaHizi biashara za next next finish ndo zimetufanya wengi tuliolipa ada zetu kusomea computer vyuo vikuu kuachana kabisa na ishu za installation. Mi ukiniitia kazi yako bila elf hamsini kufanya installatio siji, ita tu wanaoita kupiga windo chini. Maana ukizubaa unalipwa elf kumi haitoshi hata petroli ya gari
Sent using Jamii Forums mobile app