Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Et cm ya bb kama m2 aliiungansha b.b.m! Je ntafanyaje ili niisconect nconnect yng?
Umeuziwa ya kuibiwa?
once you insert your card it will ask for your blackberry id, if you have it provide and it will wipe out all the previous user data if not secured.
ila kwa kiingereza hicho tafuta huwawii au tecno bb hutaiweza
niisconect nconnect
Umeuziwa ya kuibiwa?
once you insert your card it will ask for your blackberry id, if you have it provide and it will wipe out all the previous user data if not secured.
ila kwa kiingereza hicho tafuta huwawii au tecno bb hutaiweza
doh!!!
Sijakusoma vizuri.. Hebu uliza tena kwa Kiswahili fasaha
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
wng kuna cm imeachwa hapa bt imeungansha na huduma zao za blackbery na b.b.m ikiwemo so ndo naulza je inawezekena kuifanya iwe kama mpya yan program zlzounganshwa zfutwd na ianze kuungwa tena mpya hzo huduma?
kaka mi c m2miaj wa cm hz xo cjui hata ni b.b ngap?Kama ndio hvyo leta nikuformatie niiweke os 5 or 6 au ni BB gani?
duh nashindwa hata kuchangia...lugha iliyotumika hapa kama ya kwenye "kitabu cha kuuzia sura"
Matatizo ya kununua blackbery za kupigwa kwa mateja. ukinunua kwenye maduka yanayoeleweka unapata manual.
I wipe,kama utashindwa ni PM
wng kuna cm imeachwa hapa bt imeungansha na huduma zao za blackbery na b.b.m ikiwemo so ndo naulza je inawezekena kuifanya iwe kama mpya yan program zlzounganshwa zfutwd na ianze kuungwa tena mpya hzo huduma?