Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unachotaka ni computer yako ku kutumia internet.kwanza kabisa kwa kutumia ethernet cable unapaswa kujua color arrangement hii cable inakuwa na waya ndogo ndani zipo nane kuna white orange,orange,kuna white green,blue,kuna white blue,green,na kuna white brown,brown. Hii ethernet cable imegawanyika Mara mbili kuna straight through cable na cross over.Habar wadau
Nina computer yangu hapa kuna hii cable inaitwa ethernet sijawah itumia kabisa kwa internet sasa naomben kujua nawrzaje supply internet kwenye pc au router via ethernet cable kupitia simu au moderm
Nawasilisha
Una router? Nunua tu huo waya Kisha chomeka kwenye router na pc, utapata internet.Habar wadau
Nina computer yangu hapa kuna hii cable inaitwa ethernet sijawah itumia kabisa kwa internet sasa naomben kujua nawrzaje supply internet kwenye pc au router via ethernet cable kupitia simu au moderm
Nawasilisha
Ni fiber tu hamna line router ni CISCOUna router? Nunua tu huo waya Kisha chomeka kwenye router na pc, utapata internet.
Inaweza kuwa router hizi za line ama za fiber.
Unless kuna security zenu hapo ulipo ukichomeka tu waya wa ethernet toka router hadi computer yako itafanya kazi.Ni fiber tu hamna line router ni CISCO
Hapa kwa nyuma kuna ethernet cable sehemu tano za kuchomeka 4 zina blue color moja njano imeanfikwa internet sasa hii ndio fiber inabid ichomekwe saa mm sina nataka niweke internet hapo kwa simu au mpdermUnless kuna security zenu hapo ulipo ukichomeka tu waya wa ethernet toka router hadi computer yako itafanya kazi.
Kama hio router haina uwezo wa mobile data Huwezi ukaipa kwa modemHapa kwa nyuma kuna ethernet cable sehemu tano za kuchomeka 4 zina blue color moja njano imeanfikwa internet sasa hii ndio fiber inabid ichomekwe saa mm sina nataka niweke internet hapo kwa simu au mpderm
Embu tukaushien basZima internet washa earthnet pamoja na earthquake
Kwaio ni fiber tu basiKama hio router haina uwezo wa mobile data Huwezi ukaipa kwa modem