Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,016
- 54,299
Pagumu Hapo27 au 57?
Kumbuka Muuliza Swali Kawatega
Pagumu Hapo27 au 57?
Bei kwa maeneo ya vijijini ni Tsh 27000 tu kwa wateja waliopo ndani ya mita 30 kutoka kwenye miundombinu ya umeme.Mteja anapaswa kutoa taarifa kamili kwa tuhuma anazotoa ili kusikilizwa nankuchukua hatua kamiliThread Ya Moto Sana Hii
Nadhani Tanesco Toeni Ufafanuzi Kuhusu 27 Ama 57
mhusika atafika... Thanks for a positive responseNdugu mpendwa mteja wetu
Tumepokea lalamiko lako aitha tupo tayarinkukusikiliza na kuchukua hatua stahiki kuhakikisha ubapatiwa huduma kwa bei halisi.Kwa taarifa ni kwamba mteja analipa kiasi halisi cha kufungiwa umeme kupitia bank na sio kwa mtu au mfanyakazi na anapatiwa ujumbe wa maneno kutoka bank kuwa kiasi hicho kinepokelewa, Mteja anapasea pia kumlipa mkandarasi wake aliyefanya wiring kiasi ambacho wamekubaliana wenyewe
Je ulimlipa nani?
Wilaya gani?
Namba yako ya simu?
Je ulipatiwa stakabadhi(risiti)
Je ulipewa gharama za makadirio ya kulipia na ofisi? Tunaomba taarifa hizo tufanyie kazi swala lako tafadhali
hili jamaa ni sawa na mke anamshitaki mume polisi ,anaulizwa lete ushahidi wa kupigwa anagoma anasema anaogopa akisema mume atafungwa ,imagine thatKwann umemuita zuzu?
Ahsante kwa maelezo mazuri, umeme wa Rea ulipita kijijni kwetu miaka 3 iliyopita lkn ulipita barabara kuu tuu, kama mim niko pembeni kidogo kama mita 800 kutoka barabara kuu nafanyaje kuupata huo umeme wa REA, Najua nikienda tanesco wataanza kunihesabia gharama ya nguzo.Ndugu mpendwa mteja wetu
Tumepokea lalamiko lako aitha tupo tayarinkukusikiliza na kuchukua hatua stahiki kuhakikisha ubapatiwa huduma kwa bei halisi.Kwa taarifa ni kwamba mteja analipa kiasi halisi cha kufungiwa umeme kupitia bank na sio kwa mtu au mfanyakazi na anapatiwa ujumbe wa maneno kutoka bank kuwa kiasi hicho kinepokelewa, Mteja anapasea pia kumlipa mkandarasi wake aliyefanya wiring kiasi ambacho wamekubaliana wenyewe
Je ulimlipa nani?
Wilaya gani?
Namba yako ya simu?
Je ulipatiwa stakabadhi(risiti)
Je ulipewa gharama za makadirio ya kulipia na ofisi? Tunaomba taarifa hizo tufanyie kazi swala lako tafadhali
Ndivyo the so called contractor alivyo niambia.Lakini sasa kwa nini tuambiwe kuingiza umeme ni Sh.27,000 badala ya 57,000.That is the question.Kwa nini tusiwaambie wananchi ukweli tuna piga piga corner?Hiyo 30 ni ya kuthibitisha/kujaza fomu pamoja na mchoro wa nyumba husika unayohitaji huo umeme
Acha upuuzi wewe,unapeleka taarifa zako halafu baadae wanapeleka taarifa unakuwa uhasama mtupu.Yameshatokea kwa wengine,so I don't want to make the same mistakes,wanalindana hawa.hili jamaa ni sawa na mke anamshitaki mume polisi ,anaulizwa lete ushahidi wa kupigwa anagoma anasema anaogopa akisema mume atafungwa ,imagine that
SawaBei kwa maeneo ya vijijini ni Tsh 27000 tu kwa wateja waliopo ndani ya mita 30 kutoka kwenye miundombinu ya umeme.Mteja anapaswa kutoa taarifa kamili kwa tuhuma anazotoa ili kusikilizwa nankuchukua hatua kamili
Ndio mara ya kwanza unafunga umeme inaonekana, la sivyo utakuja pia na hesabu la vifaa ulivyotumia kufanyia wiring kuwa linapingana na maagizo ya wizara.Ndivyo the so called contractor alivyo niambia.Lakini sasa kwa nini tuambiwe kuingiza umeme ni Sh.27,000 badala ya 57,000.That is the question.Kwa nini tusiwaambie wananchi ukweli tuna piga piga corner?
Ambacho sijakuelewa mkuu, kwani suala la wiring ni la kwao Rea?Wanapiga chenga tu mkuu.
Mkuu ni kuingiza umeme ndani ya nyumba,wiring ndani tayari.Umeme uko karibu kabisa na nyumba,not even a stone throw away.Yaani nguzo haihitajiki!Ni some wires tu na metre.Ambacho sijakuelewa mkuu, kwani suala la wiring ni la kwao Rea?
Mimi ni mzoefu sana wa kuweka umeme,nina nyumba zingine nne ambazo nimeweka umeme kwa hiyo najua gharama.Sijui kama umeelewa swali langu la msingi.Ni kwamba serikali imeagiza Sh.27,000,hii 30,000 ingine inatoka wapi,si TANESCO inakiuka maagizo ya serikali?Naomba tuelewane,unless serikali nayo imedanganya wananchi,jambo ambalo nalikataa.Ndio mara ya kwanza unafunga umeme inaonekana, la sivyo utakuja pia na hesabu la vifaa ulivyotumia kufanyia wiring kuwa linapingana na maagizo ya wizara.
Umeeleza vyema na nimekuelewa, tukirudi nacho hizo nyumba nyingine ulijaza fomu?Mimi ni mzoefu sana wa kuweka umeme,nina nyumba zingine nne ambazo nimeweka umeme kwa hiyo najua gharama.Sijui kama umeelewa swali langu la msingi.Ni kwamba serikali imeagiza Sh.27,000,hii 30,000 ingine inatoka wapi,si TANESCO inakiuka maagizo ya serikali?Naomba tuelewane,unless serikali nayo imedanganya wananchi,jambo ambalo nalikataa.
Kuna jambo linawachanganya wengi sana kati ya tanesco na mkandarasi.Nashukuru kwa response yenu.Hata hivyo itakuwa vigumu kuwapa details mlizotaka kwa kuwa hatimaye hii inaleta uhasama kati ya mteja na kampuni.Ukweli ni kwamba hatimaye ofisi husika inajua nani alipeleka tuhuma.Bygone is bygone.
Nilichotaka ni ufafanuzi wa yale niliyo weka kwenye malalamiko yangu,ili nijue ukweli na ninyi muweze kurekebisha mambo kwa kuwekea maagizo msisitizo.Please do that,inatosha.
mfadhili ni WB na baadhi ya nchi za Scandinavia, REA ni wakala tuRea ni mfadhiri