Kisange
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 368
- 315
Kheri ya mwaka wataalam.
Ninapata mkanganyiko kidogo kwenye kujua ipi itanifaa zaidi kati ya simu tajwa hapo juu.
Upande wa performance, ukaaji wa chaji na mambo mengine ya msingi kwa mtumiaji wa kawaida.
Nataka kununua moja kati ya hizi nimejaribu kupitia mitandaoni kuangalia ipi ni the best kwa mwenzie ila bado naona mlolongo unakuwa mkubwa na kwa vile sina uzoefu na simu za samsung napata ukakasi.
Simu ni samsung A9 2016 yenye gb 32, C7 gb 32 na C8 yenye GB 64.
Najua kuna ambao wamewahi kuzitumia hizi simu na hata wataalam na wajuvi wa mambo naombeni mnisaidie kuniambia nichukue ipi.
Nawasilisha.
Ninapata mkanganyiko kidogo kwenye kujua ipi itanifaa zaidi kati ya simu tajwa hapo juu.
Upande wa performance, ukaaji wa chaji na mambo mengine ya msingi kwa mtumiaji wa kawaida.
Nataka kununua moja kati ya hizi nimejaribu kupitia mitandaoni kuangalia ipi ni the best kwa mwenzie ila bado naona mlolongo unakuwa mkubwa na kwa vile sina uzoefu na simu za samsung napata ukakasi.
Simu ni samsung A9 2016 yenye gb 32, C7 gb 32 na C8 yenye GB 64.
Najua kuna ambao wamewahi kuzitumia hizi simu na hata wataalam na wajuvi wa mambo naombeni mnisaidie kuniambia nichukue ipi.
Nawasilisha.