Habari wadau.. simu yangu display inazima zima na inachelewa sana kurudi kwenye hali yake ya kawaida yaani kuwaka tena.Sasa nimeamua kuweka screen timeout ya mwisho kabisa kwenye simu yangu ambayo ni 30 dk ili isizimezime.
Sasa nataka kujua kama kuna jinsi ya kuongeza screen timeout zaidi ya hapo kitaalamu. Wanasayansi karibu au kama kuna solution nyingine ya kusaidia tatizo.
Sasa nataka kujua kama kuna jinsi ya kuongeza screen timeout zaidi ya hapo kitaalamu. Wanasayansi karibu au kama kuna solution nyingine ya kusaidia tatizo.