DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,899
- 45,303
Mh waziri
Elimu inabidi kufanyiwa maboresho katika maeneo muhimu kama haya
Wazazi wanabidi kushirikiana na walimu katika kuandaa ustawi bora wa watoto wao ikiwemo swala la shule ambazo ni day schools Kupata chakula cha mchana na Uji.
Kwakuwa idadi ya Wanafunzi ni kubwa kila Mzazi/mlezi anabidi kuchangia hela ya chakula ili mwane Apate chakula Cha mchana shuleni gharama inaweza kuwa elfu kumi kwa mwezi 10k kwa kila Mwanafunzi.
Hii itainua Ari ya usomaji kwa wanafunzi na kuweka umakini mkubwa katika kuyafikia Malengo then kupitia Jambo hili watoto wengi wataondokana na swala la Mimba mashuleni kwani njaa mara nyingi husababisha Huwezo Mdogo wa kufikiria na kufanya maamuzi hasa kwa watoto wa kike.
Watoto wanabidi wapatiwe chakula mashuleni naomba kuwasilisha.
Elimu inabidi kufanyiwa maboresho katika maeneo muhimu kama haya
Wazazi wanabidi kushirikiana na walimu katika kuandaa ustawi bora wa watoto wao ikiwemo swala la shule ambazo ni day schools Kupata chakula cha mchana na Uji.
Kwakuwa idadi ya Wanafunzi ni kubwa kila Mzazi/mlezi anabidi kuchangia hela ya chakula ili mwane Apate chakula Cha mchana shuleni gharama inaweza kuwa elfu kumi kwa mwezi 10k kwa kila Mwanafunzi.
Hii itainua Ari ya usomaji kwa wanafunzi na kuweka umakini mkubwa katika kuyafikia Malengo then kupitia Jambo hili watoto wengi wataondokana na swala la Mimba mashuleni kwani njaa mara nyingi husababisha Huwezo Mdogo wa kufikiria na kufanya maamuzi hasa kwa watoto wa kike.
Watoto wanabidi wapatiwe chakula mashuleni naomba kuwasilisha.