Naomba wazazi wenzangu mliowahi kutumia maziwa haya ya LACTOGEN 2 kwa ajili ya mtoto wa miezi 6(my son ametimiza leo) mnisaidie

Mkushi Mbishi

JF-Expert Member
Sep 30, 2018
318
511
Habari zenu Wakushi.

Poleni na majukumu na mihangaiko ya siku nzima ya leo.

Kutokana na ulazima uliopo imebidi kumuachisha mwanangu kunyonya ziwa la mama yake kuanzia leo 20/nov imenibidi nimtafutie maziwa ya watoto ya formula maalum yanayoitwa Lactogen 2 maana ametimiza miezi 6 sasa.

Sehemu ninayoishi ni kijijini sana niliagiza kutoka mbali mjini nikatumiwa yakanifika.

Lakini sijui jinsi ya kuyatumia KIUKAMILIFU WAKE.

Naomba wazazi wenzangu mliowahi kutumia maziwa haya ya LACTOGEN 2 kwa ajili ya mtoto wa miezi 6(my son ametimiza leo) mnisaidie maelekezo yake ya matumizi kwa kiswahili hili nielewe kwa maana mazingira niliyopo sasa siwezi pata msaada nje ya hapa jf.

Naomba mnisaidie wakuu najua wapo waliowahi kuyatumia au wanaoyajua vizuri.

Maji ya moto niweke kiasi gani na maziwa kiasi ?
N.k
 
Habari zenu Wakushi.

Poleni na majukumu na mihangaiko ya siku nzima ya leo.

Kutokana na ulazima uliopo imebidi kumuachisha mwanangu kunyonya ziwa la mama yake kuanzia leo 20/nov imenibidi nimtafutie maziwa ya watoto ya formula maalum yanayoitwa Lactogen 2 maana ametimiza miezi 6 sasa.

Sehemu ninayoishi ni kijijini sana niliagiza kutoka mbali mjini nikatumiwa yakanifika.

Lakini sijui jinsi ya kuyatumia KIUKAMILIFU WAKE.

Naomba wazazi wenzangu mliowahi kutumia maziwa haya ya LACTOGEN 2 kwa ajili ya mtoto wa miezi 6(my son ametimiza leo) mnisaidie maelekezo yake ya matumizi kwa kiswahili hili nielewe kwa maana mazingira niliyopo sasa siwezi pata msaada nje ya hapa jf.

Naomba mnisaidie wakuu najua wapo waliowahi kuyatumia au wanaoyajua vizuri.

Maji ya moto niweke kiasi gani na maziwa kiasi ?
N.k
Kwanini unataka kumwachisha mapema hivyo,!?
 
Miezi 6 mtoto anaweza kula chochote sasa! Mie wakufika hapo nawapa ya ngombe
 
Miezi 6 mtoto anaweza kula chochote sasa! Mie wakufika hapo nawapa ya ngombe
Ni kweli japo huwezi muanzishia misosi migumu pekee directly, maziwa pia muhimu kama replacement hasa huyo mtoto ambae hapati tena maziwa ya mama anapaswa kupata alternative maziwa
 
Habari zenu Wakushi.

Poleni na majukumu na mihangaiko ya siku nzima ya leo.

Kutokana na ulazima uliopo imebidi kumuachisha mwanangu kunyonya ziwa la mama yake kuanzia leo 20/nov imenibidi nimtafutie maziwa ya watoto ya formula maalum yanayoitwa Lactogen 2 maana ametimiza miezi 6 sasa.

Sehemu ninayoishi ni kijijini sana niliagiza kutoka mbali mjini nikatumiwa yakanifika.

Lakini sijui jinsi ya kuyatumia KIUKAMILIFU WAKE.

Naomba wazazi wenzangu mliowahi kutumia maziwa haya ya LACTOGEN 2 kwa ajili ya mtoto wa miezi 6(my son ametimiza leo) mnisaidie maelekezo yake ya matumizi kwa kiswahili hili nielewe kwa maana mazingira niliyopo sasa siwezi pata msaada nje ya hapa jf.

Naomba mnisaidie wakuu najua wapo waliowahi kuyatumia au wanaoyajua vizuri.

Maji ya moto niweke kiasi gani na maziwa kiasi ?
N.k
Kama humuachishi maziwa yako SIKUSHAURI KUMPA MAZIWA YA KOPO. USHAURI WANGU;
Mpe vyakula vya kulikiza kwa ratiba maalum huku akiendela kunyonya MAZIWA yako.
I WAPO UNA MUACHISHA MOJA KWA MOJA
TUMIA hiyo lactogen. Jinsi ya kupima kuweka maji nakadhalika.kiufupi maelekezo yoote yapo katika hilo kopo la lactogen
 
Back
Top Bottom