Unajua anapofanya unasahau zile karata za mwanzo ni pale anapokwambia umtizame machoni, unajua unapofocus kwenye kitu fulani akili huwa inahama kwenye vitu vingine kwa muda na ndio maana pale mwishoni kitu cha kwanza kukitafuta anaporudishia zile nyingine ni kuitafuta ile uliyoifikiria na ukiona haipo hujali tena kuangalia nyinginedaaaaaaaah kweli aiseeeeeeeee