Mimi ni muuza Gesi za majumbani LPG
Nilikuwa napenda kufahamu namna ya kupata Uwakala wa gesi za kuchomelea (nazikuta sana Gereji za magari) na nyinginezo kama zile (yani Acetlyene, oxygen) na mwenendo mzima wa biashara hyo.
Katika kuangalia nimeona kuna kampuni kama tatu yani TOL, SALAMA na KAMAL Gas
Vipi kwa nyie mnaofanya hiyo biashara, mzunguko upo vipi na mengineyo fungukeni
Nilikuwa napenda kufahamu namna ya kupata Uwakala wa gesi za kuchomelea (nazikuta sana Gereji za magari) na nyinginezo kama zile (yani Acetlyene, oxygen) na mwenendo mzima wa biashara hyo.
Katika kuangalia nimeona kuna kampuni kama tatu yani TOL, SALAMA na KAMAL Gas
Vipi kwa nyie mnaofanya hiyo biashara, mzunguko upo vipi na mengineyo fungukeni