Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 167
Wafugaji wenzangu leo naomba tupeane uzoefu kuhusu biashara ya utotoleshaji vifaranga vya kuku, utaratibu upoje na bei zake zipoje.
1. Analipia kila yai analoleta au kwa kila kifaranga kitotolewacho.
2. Bei huwa sh ngapi na bei hutolewa kwa kila yai au trei nzima.
1. Analipia kila yai analoleta au kwa kila kifaranga kitotolewacho.
2. Bei huwa sh ngapi na bei hutolewa kwa kila yai au trei nzima.