kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
Natumaini wazima,
Niende kwenye mada, simu za tecno zinadharaulika na wengi sjui kwanini.. kwa upande wangu nilinunua tablet ya tecno 8h mwaka 2015 December, asee hadi leo ipo na inapiga kazi vizuri mno.. japo namiliki simu ya kampuni nyingine lakin ninapotaka kuwa comfortable kwenye internet basi tecno itahusika na haijawahi kuniangusha
Sasa nyie wataalami wa hizi simu hebu nifahamishen kwanini simu za tecno zinadharaulika??
Niende kwenye mada, simu za tecno zinadharaulika na wengi sjui kwanini.. kwa upande wangu nilinunua tablet ya tecno 8h mwaka 2015 December, asee hadi leo ipo na inapiga kazi vizuri mno.. japo namiliki simu ya kampuni nyingine lakin ninapotaka kuwa comfortable kwenye internet basi tecno itahusika na haijawahi kuniangusha
Sasa nyie wataalami wa hizi simu hebu nifahamishen kwanini simu za tecno zinadharaulika??