Naomba ushauri..

Chabrosy

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
2,618
3,083
Habari wana jamvi, natumaini mko poa ni hivi jamani
Nimefanikiwa kuuza gari yangu aina ya Brevis kwa gharama ya Tsh 8M nikajishanga na mimi now nina kama 14M sasa hapa nachoice ya gari izi tatu BMW 3series 320i,Mark X aka mkasi na Crown mnanishauri nichukue hipi kati ya izi 3...

NB:Ubora na ukubwa wa injini uzingatiwe mana mm ni mpenzi wa gari ambayo injini yake iwe kubwa na strong mana nasafiri sana...
 
Habari wana jamvi, natumaini mko poa ni hivi jamani
Nimefanikiwa kuuza gari yangu aina ya Brevis kwa gharama ya Tsh 8M nikajishanga na mimi now nina kama 14M sasa hapa nachoice ya gari izi tatu BMW 3series 320i,Mark X aka mkasi na Crown mnanishauri nichukue hipi kati ya izi 3...

NB:Ubora na ukubwa wa injini uzingatiwe mana mm ni mpenzi wa gari ambayo injini yake iwe kubwa na strong mana nasafiri sana...
Kama uwezo wa maintainance ya. BmW upo chukua izo nyingne zitakupasua ktk safar ndfu though ktk displacement ya engine ningerikushauri uende kwa crown athletics 2gr 3500cc ile gari n jini kwa mwendo
 
Habari wana jamvi, natumaini mko poa ni hivi jamani
Nimefanikiwa kuuza gari yangu aina ya Brevis kwa gharama ya Tsh 8M nikajishanga na mimi now nina kama 14M sasa hapa nachoice ya gari izi tatu BMW 3series 320i,Mark X aka mkasi na Crown mnanishauri nichukue hipi kati ya izi 3...

NB:Ubora na ukubwa wa injini uzingatiwe mana mm ni mpenzi wa gari ambayo injini yake iwe kubwa na strong mana nasafiri sana...

So engine ikiwa kubwa ndio inakuwaje?
 
Habari wana jamvi, natumaini mko poa ni hivi jamani
Nimefanikiwa kuuza gari yangu aina ya Brevis kwa gharama ya Tsh 8M nikajishanga na mimi now nina kama 14M sasa hapa nachoice ya gari izi tatu BMW 3series 320i,Mark X aka mkasi na Crown mnanishauri nichukue hipi kati ya izi 3...

NB:Ubora na ukubwa wa injini uzingatiwe mana mm ni mpenzi wa gari ambayo injini yake iwe kubwa na strong mana nasafiri sana...
Usinunue gari litakupotezea muda tu, kwanini usinunue baiskeli au pikipiki yenye bei rahisi?
 
Back
Top Bottom