Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,618
- 3,083
Habari wana jamvi, natumaini mko poa ni hivi jamani
Nimefanikiwa kuuza gari yangu aina ya Brevis kwa gharama ya Tsh 8M nikajishanga na mimi now nina kama 14M sasa hapa nachoice ya gari izi tatu BMW 3series 320i,Mark X aka mkasi na Crown mnanishauri nichukue hipi kati ya izi 3...
NB:Ubora na ukubwa wa injini uzingatiwe mana mm ni mpenzi wa gari ambayo injini yake iwe kubwa na strong mana nasafiri sana...
Nimefanikiwa kuuza gari yangu aina ya Brevis kwa gharama ya Tsh 8M nikajishanga na mimi now nina kama 14M sasa hapa nachoice ya gari izi tatu BMW 3series 320i,Mark X aka mkasi na Crown mnanishauri nichukue hipi kati ya izi 3...
NB:Ubora na ukubwa wa injini uzingatiwe mana mm ni mpenzi wa gari ambayo injini yake iwe kubwa na strong mana nasafiri sana...